Mathayo 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Zaidi ya hayo, baada ya kuondoka Nazareti, alikuja na kukaa katika Kapernaumu+ kando ya bahari katika wilaya za Zabuloni na Naftali,+ Yohana 7:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Wale maofisa wakajibu: “Mtu mwingine hajapata kamwe kusema kama huyu.”+
13 Zaidi ya hayo, baada ya kuondoka Nazareti, alikuja na kukaa katika Kapernaumu+ kando ya bahari katika wilaya za Zabuloni na Naftali,+