10 Basi Nchi Tambarare ya Chini ya Sidimu+ ilikuwa imejaa mashimo ya lami;+ nao wafalme wa Sodoma na Gomora+ wakakimbia na kuanguka ndani yake, na wale waliobaki wakakimbilia eneo lenye milima.+
3 Alipokuwa hawezi tena kuendelea kumficha,+ akamchukulia safina ya mafunjo, akaipaka lami na bereu,+ akamweka mtoto huyo ndani yake na kuiweka katikati ya matete+ kando ya mto Nile.