Mwanzo 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wale waliokuwa wakiingia, dume na jike wa kila namna ya mwili, wakaingia, kama vile Mungu alivyokuwa amemwamuru. Kisha Yehova akafunga mlango nyuma yake.+
16 Na wale waliokuwa wakiingia, dume na jike wa kila namna ya mwili, wakaingia, kama vile Mungu alivyokuwa amemwamuru. Kisha Yehova akafunga mlango nyuma yake.+