Mwanzo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Mungu akalifanya anga na kutenganisha maji yaliyo chini ya anga na maji yaliyo juu ya anga.+ Ikawa hivyo. Mwanzo 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye Noa alikuwa na umri wa miaka mia sita wakati gharika ya maji ilipokuja duniani.+ Mathayo 24:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 nao hawakujali mpaka gharika ikaja na kuwafagilia mbali wote,+ ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa. 2 Petro 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda Noa, mhubiri wa uadilifu,+ akiwa salama pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika+ juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu;
7 Ndipo Mungu akalifanya anga na kutenganisha maji yaliyo chini ya anga na maji yaliyo juu ya anga.+ Ikawa hivyo.
39 nao hawakujali mpaka gharika ikaja na kuwafagilia mbali wote,+ ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.
5 naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda Noa, mhubiri wa uadilifu,+ akiwa salama pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika+ juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu;