Mwanzo 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi, mti wa shambani haukuwapo duniani wala mimea ya shambani ilikuwa haijachipuka bado, kwa kuwa Yehova Mungu hakuwa amenyesha mvua+ juu ya dunia wala hapakuwa na mtu wa kuilima nchi. Ayubu 37:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana yeye anaiambia theluji, ‘Anguka kuelekea duniani,’+Na pia mvua kubwa, ndiyo, mvua zake kubwa zenye nguvu.+
5 Basi, mti wa shambani haukuwapo duniani wala mimea ya shambani ilikuwa haijachipuka bado, kwa kuwa Yehova Mungu hakuwa amenyesha mvua+ juu ya dunia wala hapakuwa na mtu wa kuilima nchi.
6 Kwa maana yeye anaiambia theluji, ‘Anguka kuelekea duniani,’+Na pia mvua kubwa, ndiyo, mvua zake kubwa zenye nguvu.+