14 wao na kila mnyama-mwitu kulingana na aina yake,+ na kila mnyama wa kufugwa kulingana na aina yake, na kila mnyama anayetembea atembeaye juu ya dunia kulingana na aina yake,+ na kila kiumbe kinachoruka kulingana na aina yake,+ kila ndege, kila kiumbe chenye mabawa.+