23 Basi sasa ninyi ni watu waliolaaniwa,+ nanyi hamtaacha kamwe kuwa watumwa+ na wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.”+
21 wana wao waliobaki baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli walishindwa kuangamiza,+ Sulemani akaendelea kuwaandikisha kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa ya kitumwa mpaka leo hii.+