47 Ashdodi,+ miji yake ya kandokando na makao yake; Gaza,+ miji yake ya kandokando na makao yake, hadi kwenye bonde la mto la Misri, na ile Bahari Kuu na eneo jirani.+
26 Hata hivyo, malaika+ wa Yehova akasema na Filipo, akamwambia: “Ondoka uende upande wa kusini kwenye barabara inayoshuka kutoka Yerusalemu mpaka Gaza.” (Hii ni barabara ya jangwani.)