Zaburi 104:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Daima yanawapa maji ya kunywa wanyama wote wa porini;+Punda-milia+ hukata kiu yao kwa ukawaida. Marko 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi akakaa nyikani siku 40,+ akijaribiwa na Shetani,+ naye alikuwa pamoja na wanyama-mwitu, lakini malaika walikuwa wakimhudumia.+
13 Basi akakaa nyikani siku 40,+ akijaribiwa na Shetani,+ naye alikuwa pamoja na wanyama-mwitu, lakini malaika walikuwa wakimhudumia.+