20 Noa akamjengea Yehova madhabahu+ na kuchukua baadhi ya wanyama wote walio safi+ na baadhi ya viumbe vyote vinavyoruka ambavyo ni safi,+ akatoa matoleo ya kuteketezwa juu ya ile madhabahu.+
3 kisha tuondoke, twende Betheli. Na huko nitamjengea madhabahu Mungu wa kweli aliyenijibu siku ya taabu+ yangu kwa kuwa alikuwa pamoja nami katika njia niliyoiendea.”+