Mwanzo 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na Myebusi+ na Mwamori+ na Mgirgashi Mwanzo 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi Abramu akaendelea kuishi katika mahema. Baadaye akaja na kukaa kati ya miti mikubwa ya Mamre,+ ambayo iko katika Hebroni;+ na huko akamjengea Yehova madhabahu.+
18 Basi Abramu akaendelea kuishi katika mahema. Baadaye akaja na kukaa kati ya miti mikubwa ya Mamre,+ ambayo iko katika Hebroni;+ na huko akamjengea Yehova madhabahu.+