24 Sitaki chochote!+ Isipokuwa tu kile ambacho vijana wamekula tayari, na fungu la watu walioenda nami, Aneri, Eshkoli na Mamre+—na wachukue fungu lao.”+
9 Walipoenda kwenye bonde la mto la Eshkoli+ na kuiona nchi, ndipo walipowavunja moyo wana wa Israeli, ili wasiingie katika nchi ambayo kwa hakika Yehova angewapa.+