1 Samweli 30:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na hakuna kitu chochote chao kilichokosekana, kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi na wana na mabinti na kuanzia nyara, mpaka chochote ambacho walikuwa wamejichukulia.+ Daudi alirudisha kila kitu.
19 Na hakuna kitu chochote chao kilichokosekana, kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi na wana na mabinti na kuanzia nyara, mpaka chochote ambacho walikuwa wamejichukulia.+ Daudi alirudisha kila kitu.