Mwanzo 28:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na jiwe hili ambalo nimesimamisha kuwa nguzo litakuwa nyumba ya Mungu,+ na katika kila kitu utakachonipa bila shaka nitakupa wewe sehemu ya kumi.”+ Waebrania 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Oneni, basi, jinsi alivyokuwa mkuu mtu huyu ambaye Abrahamu, yule kichwa cha familia, alimtolea sehemu ya kumi kutokana na zile nyara kuu.+
22 Na jiwe hili ambalo nimesimamisha kuwa nguzo litakuwa nyumba ya Mungu,+ na katika kila kitu utakachonipa bila shaka nitakupa wewe sehemu ya kumi.”+
4 Oneni, basi, jinsi alivyokuwa mkuu mtu huyu ambaye Abrahamu, yule kichwa cha familia, alimtolea sehemu ya kumi kutokana na zile nyara kuu.+