67 Baada ya hayo Isaka akamleta Rebeka ndani ya hema la Sara mama yake.+ Hivyo akamchukua Rebeka, naye akawa mke wake;+ naye akampenda,+ na Isaka akapata faraja baada ya kumpoteza mama yake.+
33 Kwa hiyo Labani akaingia katika hema la Yakobo na hema la Lea na hema la wale vijakazi wawili,+ lakini hakuipata. Mwishowe akatoka katika hema la Lea akaenda katika hema la Raheli.