Mwanzo 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini kuhusu matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula, utakufa hakika.”+ Mwanzo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Yehova Mungu akaendelea kusema: “Tazama, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu kwa kujua mema na mabaya,+ na sasa ili asije akanyoosha mkono wake achukue matunda kutoka pia katika mti wa uzima+ na kula na kuishi mpaka wakati usio na kipimo,—”
17 Lakini kuhusu matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula, utakufa hakika.”+
22 Na Yehova Mungu akaendelea kusema: “Tazama, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu kwa kujua mema na mabaya,+ na sasa ili asije akanyoosha mkono wake achukue matunda kutoka pia katika mti wa uzima+ na kula na kuishi mpaka wakati usio na kipimo,—”