Methali 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana hawalali wasipotenda jambo baya,+ nao hawapati usingizi wasipomkwaza mtu.+ Waefeso 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wakiisha kuishiwa na ufahamu wote wa maadili,+ walijitoa wenyewe ili kuwa na mwenendo mpotovu+ na kufanya ukosefu wa usafi+ wa kila namna kwa pupa.+
19 Wakiisha kuishiwa na ufahamu wote wa maadili,+ walijitoa wenyewe ili kuwa na mwenendo mpotovu+ na kufanya ukosefu wa usafi+ wa kila namna kwa pupa.+