Mwanzo 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye Abrahamu akaanza kumwomba dua Mungu wa kweli;+ naye Mungu akamponya Abimeleki na mke wake na vijakazi wake, nao wakaanza kuzaa watoto. Mwanzo 26:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wakajibu, wakasema: “Bila shaka sisi tumeona kwamba Yehova amekuwa pamoja nawe.+ Hivyo tukasema, ‘Tafadhali, kiapo cha wajibu na kiwepo kati yetu,+ kati yetu na wewe, nasi na tufanye agano pamoja nawe,+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+ 1 Wakorintho 14:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 siri za moyo wake hufunuliwa,+ hivi kwamba ataanguka kifudifudi na kumwabudu Mungu, akitangaza: “Kwa kweli Mungu yupo katikati yenu.”+
17 Naye Abrahamu akaanza kumwomba dua Mungu wa kweli;+ naye Mungu akamponya Abimeleki na mke wake na vijakazi wake, nao wakaanza kuzaa watoto.
28 Wakajibu, wakasema: “Bila shaka sisi tumeona kwamba Yehova amekuwa pamoja nawe.+ Hivyo tukasema, ‘Tafadhali, kiapo cha wajibu na kiwepo kati yetu,+ kati yetu na wewe, nasi na tufanye agano pamoja nawe,+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
25 siri za moyo wake hufunuliwa,+ hivi kwamba ataanguka kifudifudi na kumwabudu Mungu, akitangaza: “Kwa kweli Mungu yupo katikati yenu.”+