Mwanzo 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi, ikawa kwamba kabla hajamaliza kusema,+ tazama, Rebeka, aliyezaliwa na Bethueli+ mwana wa Milka+ mke wa Nahori,+ ndugu ya Abrahamu, alikuwa akitoka nje na mtungi wake wa maji ukiwa begani mwake.+ Waroma 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini si tukio hilo peke yake, bali pia Rebeka alipochukua mimba ya mapacha+ kwa yule mwanamume mmoja, Isaka babu yetu:
15 Basi, ikawa kwamba kabla hajamaliza kusema,+ tazama, Rebeka, aliyezaliwa na Bethueli+ mwana wa Milka+ mke wa Nahori,+ ndugu ya Abrahamu, alikuwa akitoka nje na mtungi wake wa maji ukiwa begani mwake.+
10 Lakini si tukio hilo peke yake, bali pia Rebeka alipochukua mimba ya mapacha+ kwa yule mwanamume mmoja, Isaka babu yetu: