Kutoka 34:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jiandikie maneno haya,+ kwa sababu ninafanya agano pamoja nawe na Israeli kupatana na maneno haya.”+
27 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jiandikie maneno haya,+ kwa sababu ninafanya agano pamoja nawe na Israeli kupatana na maneno haya.”+