5 Baadaye Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni, ‘Nyoosha mkono wako pamoja na fimbo+ yako juu ya mito, mifereji ya Nile na madimbwi yenye matete na kuwafanya vyura waje juu ya nchi ya Misri.’”
5 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Pita mbele ya watu+ na uchukue pamoja nawe baadhi ya wanaume wazee wa Israeli na fimbo yako ambayo uliitumia kupiga maji ya Mto Nile.+ Ichukue mkononi mwako nawe uendelee kutembea.
11 Halafu Musa akainua mkono wake na kuupiga mwamba mara mbili kwa fimbo yake; na maji mengi yakaanza kutoka, nalo kusanyiko na wanyama wao wa kubeba mizigo wakaanza kunywa.+