Kutoka 38:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mapazia yalikuwa mikono kumi na mitano kwa upande mmoja. Nguzo zake zilikuwa tatu na vikalio vyake vitatu.+ Kutoka 39:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 mapazia+ ya ua, nguzo+ zake na vikalio+ vyake na kile kisitiri+ kwa ajili ya lango la ua, kamba+ zake za hema na misumari+ yake ya hema na vyombo vyote+ kwa ajili ya utumishi wa maskani, kwa ajili ya hema la mkutano,
14 Mapazia yalikuwa mikono kumi na mitano kwa upande mmoja. Nguzo zake zilikuwa tatu na vikalio vyake vitatu.+
40 mapazia+ ya ua, nguzo+ zake na vikalio+ vyake na kile kisitiri+ kwa ajili ya lango la ua, kamba+ zake za hema na misumari+ yake ya hema na vyombo vyote+ kwa ajili ya utumishi wa maskani, kwa ajili ya hema la mkutano,