Kutoka 39:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha akafanya kile kifuko cha kifuani+ kwa ufundi wa mtarizi, kama ule ufundi wa efodi, kutokana na dhahabu, uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa.+ Kutoka 39:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nao wakafanya juu ya kile kifuko cha kifuani minyororo yenye mashada, msokoto wa kamba, wa dhahabu safi.+ Mambo ya Walawi 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha akamvika kile kifuko cha kifuani+ na kutia Urimu na Thumimu+ ndani ya kifuko hicho.
8 Kisha akafanya kile kifuko cha kifuani+ kwa ufundi wa mtarizi, kama ule ufundi wa efodi, kutokana na dhahabu, uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa.+
15 Nao wakafanya juu ya kile kifuko cha kifuani minyororo yenye mashada, msokoto wa kamba, wa dhahabu safi.+