Mwanzo 28:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 nami hakika nirudi kwa amani nyumbani kwa baba yangu, basi Yehova atakuwa amejionyesha kuwa Mungu wangu.+ Luka 20:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Lakini hata Musa alifunua kwamba wafu watafufuliwa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba,+ anapomwita Yehova ‘Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.’+
21 nami hakika nirudi kwa amani nyumbani kwa baba yangu, basi Yehova atakuwa amejionyesha kuwa Mungu wangu.+
37 Lakini hata Musa alifunua kwamba wafu watafufuliwa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba,+ anapomwita Yehova ‘Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.’+