Kutoka 39:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Baada ya hilo wakapitisha zile kamba mbili za dhahabu kwenye zile pete mbili zilizo kwenye miisho ya kile kifuko cha kifuani.+ Mambo ya Walawi 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha akamvika kile kifuko cha kifuani+ na kutia Urimu na Thumimu+ ndani ya kifuko hicho.
17 Baada ya hilo wakapitisha zile kamba mbili za dhahabu kwenye zile pete mbili zilizo kwenye miisho ya kile kifuko cha kifuani.+