7 Naye kuhani atatia sehemu ya damu hiyo juu ya pembe+ za madhabahu ya uvumba uliotiwa manukato mbele za Yehova, iliyo ndani ya hema la mkutano, na damu yote iliyobaki ya ng’ombe huyo ataimimina kwenye msingi+ wa madhabahu ya toleo la kuteketezwa, iliyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano.