Mambo ya Walawi 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha Musa akamchinja na kuinyunyiza damu yake juu ya madhabahu kuizunguka pande zote.+ Waebrania 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndiyo, karibu vitu vyote husafishwa kwa damu+ kulingana na Sheria, na damu isipomwagwa+ hakuna msamaha unaotokea.+
22 Ndiyo, karibu vitu vyote husafishwa kwa damu+ kulingana na Sheria, na damu isipomwagwa+ hakuna msamaha unaotokea.+