Mambo ya Walawi 7:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “‘Nanyi mtampa kuhani mguu wa kuume uwe fungu+ takatifu kutoka katika dhabihu zenu za ushirika. Mambo ya Walawi 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini vidari na ule mguu wa kuume, Haruni alivitikisa huku na huku vikiwa toleo la kutikisa+ mbele za Yehova, kama vile Musa alivyoamuru. Hesabu 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na nyama yao itakuwa yako. Kama vile kidari cha toleo la kutikisa na kama ule mguu wa kuume, inapaswa kuwa yako.+
21 Lakini vidari na ule mguu wa kuume, Haruni alivitikisa huku na huku vikiwa toleo la kutikisa+ mbele za Yehova, kama vile Musa alivyoamuru.
18 Na nyama yao itakuwa yako. Kama vile kidari cha toleo la kutikisa na kama ule mguu wa kuume, inapaswa kuwa yako.+