9 Nawe utachukua yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na kuitia mafuta+ maskani na vyote vilivyomo ndani yake,+ nawe utaitakasa pamoja na vyombo vyake vyote, nayo itakuwa kitu kitakatifu.
7Sasa ikawa kwamba katika siku ambayo Musa alimaliza kuisimamisha maskani,+ aliitia mafuta+ na kuitakasa pamoja na vyombo vyake vyote na madhabahu na vyombo vyake vyote. Hivyo akavitia mafuta na kuvitakasa.+