37 Utachukua siku saba kufanya upatanisho juu ya madhabahu, nawe utaitakasa+ ili iwe madhabahu takatifu zaidi.+ Mtu yeyote atakayegusa madhabahu hiyo atakuwa mtakatifu.+
18 Kila mwanamume+ kati ya wana wa Haruni ataula. Ni posho kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, mpaka wakati usio na kipimo+ katika vizazi vyenu vyote. Chochote kitakachoyagusa kitakuwa kitakatifu.’”