Kutoka 28:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Na uwafanyie suruali za kitani ili kuufunika mwili ulio uchi.+ Zianzie kiunoni mpaka kwenye mapaja. Ezekieli 44:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Vitambaa vya kichwa vya kitani ndivyo vitakavyokuwa kichwani pao,+ na suruali za kitani ndizo zitakazokuwa viunoni mwao.+ Wasijifunge chochote ambacho husababisha jasho.
42 Na uwafanyie suruali za kitani ili kuufunika mwili ulio uchi.+ Zianzie kiunoni mpaka kwenye mapaja.
18 Vitambaa vya kichwa vya kitani ndivyo vitakavyokuwa kichwani pao,+ na suruali za kitani ndizo zitakazokuwa viunoni mwao.+ Wasijifunge chochote ambacho husababisha jasho.