36 Nawe utafanya kisitiri+ kwa ajili ya mlango wa hema, kisitiri cha uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani safi kilichosokotwa, kazi ya mfumaji.
38 na madhabahu+ ya dhahabu na yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na ule uvumba uliotiwa manukato+ na kile kisitiri+ kwa ajili ya mwingilio wa hema,