Kutoka 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye akafanya meza ya mbao za mshita.+ Mikono miwili urefu wake, na mkono mmoja upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.+ Waebrania 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana kilijengwa chumba cha hema cha kwanza+ ambacho ndani yake mlikuwa kile kinara cha taa+ na pia meza+ na wonyesho wa mikate;+ nacho kinaitwa “Mahali Patakatifu.”+
10 Naye akafanya meza ya mbao za mshita.+ Mikono miwili urefu wake, na mkono mmoja upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.+
2 Kwa maana kilijengwa chumba cha hema cha kwanza+ ambacho ndani yake mlikuwa kile kinara cha taa+ na pia meza+ na wonyesho wa mikate;+ nacho kinaitwa “Mahali Patakatifu.”+