Kutoka 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nao wana wa Simeoni walikuwa Yemueli na Yamini na Ohadi na Yakini na Zohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani.+ Hizo ndizo familia za Simeoni.+
15 Nao wana wa Simeoni walikuwa Yemueli na Yamini na Ohadi na Yakini na Zohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani.+ Hizo ndizo familia za Simeoni.+