5 Baada ya muda, binti ya Farao akaja kuoga katika Mto Nile, nao wanawake wa kumhudumia walikuwa wakitembea kando ya Mto Nile. Naye akaiona ile safina katikati ya matete. Mara moja akamtuma kijakazi wake aende akailete.+
20 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Amka asubuhi na mapema usimame mbele ya Farao.+ Tazama! Anatoka kwenda majini! Nawe utamwambia, ‘Hivi ndivyo Yehova amesema: “Waruhusu watu wangu waende zao ili wanitumikie.+