20 Sasa Amramu alimchukua Yokebedi dada ya baba yake awe mke wake.+ Baadaye akamzalia Haruni na Musa.+ Nayo miaka ya maisha ya Amramu ilikuwa miaka 137.
59 Nalo jina la mke wa Amramu lilikuwa Yokebedi,+ binti ya Lawi, ambaye mke wake alimzalia Lawi katika Misri. Baada ya muda akamzalia Amramu Haruni na Musa na Miriamu dada yao.+