Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana kufikia sasa ningalikuwa nimenyoosha mkono wangu nipate kukupiga wewe na watu wako kwa tauni ili ufutiliwe mbali kutoka duniani.+

  • Zaburi 78:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Akatayarisha njia kwa ajili ya hasira yake.+

      Hakuzuia nafsi zao zisipatwe na kifo;

      Nayo maisha yao akayatia kwenye tauni.+

  • Ezekieli 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Kwa maana hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Hivyo, pia, ndivyo itakavyokuwa wakati kutakapokuwa na hukumu zangu nne zenye madhara+—upanga na njaa na mnyama-mwitu mwenye kudhuru na tauni+—nitakazoleta juu ya Yerusalemu ili kumkatilia mbali kutoka humo mtu wa udongo na mnyama wa kufugwa.+

  • Amosi 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “ ‘Nilituma kati yenu ninyi tauni kama ile ya Misri.+ Niliwaua vijana wenu kwa upanga,+ pamoja na kuchukua mateka farasi zenu.+ Nami nikaendelea kufanya harufu ya kunuka ya kambi zenu ipande hata kuingia puani mwenu;+ lakini hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki