Kutoka 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi akaondoka kwa Farao na kumsihi Yehova.+ Yakobo 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Eliya alikuwa mtu mwenye hisia kama zetu,+ na bado katika sala alisali mvua isinyeshe;+ na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na miezi sita.
17 Eliya alikuwa mtu mwenye hisia kama zetu,+ na bado katika sala alisali mvua isinyeshe;+ na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na miezi sita.