Kutoka 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na hakika hawa watumishi wako wote watanijia na kusujudu mbele yangu,+ na kusema, ‘Nenda, wewe na watu wote wanaofuata hatua zako.’ Na baada ya hapo mimi nitaondoka.” Kisha akaondoka mbele ya Farao akiwaka hasira. Waebrania 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa imani aliondoka Misri,+ lakini bila kuogopa hasira ya mfalme,+ kwa maana aliendelea kuwa imara kama mtu anayemwona Yeye asiyeonekana.+
8 Na hakika hawa watumishi wako wote watanijia na kusujudu mbele yangu,+ na kusema, ‘Nenda, wewe na watu wote wanaofuata hatua zako.’ Na baada ya hapo mimi nitaondoka.” Kisha akaondoka mbele ya Farao akiwaka hasira.
27 Kwa imani aliondoka Misri,+ lakini bila kuogopa hasira ya mfalme,+ kwa maana aliendelea kuwa imara kama mtu anayemwona Yeye asiyeonekana.+