Kutoka 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baadaye Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni, ‘Nyoosha mkono wako pamoja na fimbo+ yako juu ya mito, mifereji ya Nile na madimbwi yenye matete na kuwafanya vyura waje juu ya nchi ya Misri.’”
5 Baadaye Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni, ‘Nyoosha mkono wako pamoja na fimbo+ yako juu ya mito, mifereji ya Nile na madimbwi yenye matete na kuwafanya vyura waje juu ya nchi ya Misri.’”