Kutoka 12:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kisha Farao akaamka usiku, yeye na watumishi wake wote na Wamisri wengine wote; na kukaanza kutokea kilio kikubwa kati ya Wamisri,+ kwa sababu hapakuwa na nyumba yoyote ambamo hamkuwa na mtu aliyekufa.
30 Kisha Farao akaamka usiku, yeye na watumishi wake wote na Wamisri wengine wote; na kukaanza kutokea kilio kikubwa kati ya Wamisri,+ kwa sababu hapakuwa na nyumba yoyote ambamo hamkuwa na mtu aliyekufa.