Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hawapaswi kuacha chochote mpaka asubuhi,+ wala hawapaswi kuvunja mfupa wowote ulio ndani yake.+ Wanapaswa kuitayarisha kulingana na sheria yote ya pasaka.+

  • Zaburi 34:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yeye anailinda mifupa yote ya mtu huyo;

      Hakuna hata mmoja uliovunjwa.+

  • Yohana 19:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Lakini walipokuja kwa Yesu, kwa kuwa waliona kwamba tayari alikuwa amekufa, hawakuivunja miguu yake.

  • Yohana 19:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa kweli, mambo haya yalitendeka kusudi andiko litimizwe: “Hakuna mfupa wake hata mmoja utakaovunjwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki