10 Ikawa kwamba Yakobo alipomwona Raheli binti ya Labani ndugu ya mama yake na kondoo wa Labani ndugu ya mama yake, bila kukawia Yakobo akakaribia na kuliviringisha jiwe, akaliondoa kwenye kinywa cha hicho kisima na kuwanywesha maji kondoo wa Labani ndugu ya mama yake.+