27 Mara moja Musa akaunyoosha mkono wake juu ya bahari, nayo bahari ikaanza kurudia hali yake ya kawaida asubuhi ikikaribia. Wakati wote huo Wamisri walikuwa wakikimbia wasikutane nayo, lakini Yehova akawakung’uta Wamisri katikati ya bahari.+
6 Nilipokuwa nikiwatoa baba zenu kutoka Misri+ nanyi mkaja kwenye ile bahari, ndipo Wamisri walipowafuatilia+ baba zenu wakiwa na magari ya vita na wapanda-farasi mpaka kwenye Bahari Nyekundu.