25 Hakuna mtu atakayesimama imara dhidi yenu.+ Yehova Mungu wenu atatia mbele ya uso wa nchi+ yote ambayo mtaikanyaga hofu kwa ajili yenu na woga kwa ajili yenu kama vile alivyowaahidi ninyi.
9 Naye akawaambia wanaume hao: “Najua hakika ya kwamba Yehova atawapa nchi hii,+ na ya kwamba tumeshikwa na hofu kwa sababu yenu,+ na ya kwamba wakaaji wote wa nchi wamevunjika moyo kwa sababu yenu.+