Mwanzo 33:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye mwenyewe akapita mbele yao akaanza kuinama mpaka chini mara saba mpaka alipomkaribia ndugu yake.+ 2 Samweli 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo Yoabu akaingia kwa mfalme na kumwambia. Ndipo akamwita Absalomu, ambaye sasa aliingia kwa mfalme, akamsujudia, akaanguka kifudifudi mbele ya mfalme; kisha mfalme akambusu Absalomu.+ Waroma 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Katika upendo wa kindugu+ iweni na upendo mwororo kwa mtu na mwenzake. Katika kuonyeshana heshima+ iweni wa kwanza.
3 Naye mwenyewe akapita mbele yao akaanza kuinama mpaka chini mara saba mpaka alipomkaribia ndugu yake.+
33 Kwa hiyo Yoabu akaingia kwa mfalme na kumwambia. Ndipo akamwita Absalomu, ambaye sasa aliingia kwa mfalme, akamsujudia, akaanguka kifudifudi mbele ya mfalme; kisha mfalme akambusu Absalomu.+
10 Katika upendo wa kindugu+ iweni na upendo mwororo kwa mtu na mwenzake. Katika kuonyeshana heshima+ iweni wa kwanza.