Mwanzo 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na kufikia siku ya saba Mungu akamaliza kazi yake ambayo alikuwa ameifanya, naye akaanza kupumzika siku ya saba kutokana na kazi yake yote ambayo alikuwa ameifanya.+ Waebrania 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana katika mahali fulani yeye amesema hivi juu ya siku ya saba: “Na Mungu akapumzika siku ya saba kutokana na kazi zake zote,”+
2 Na kufikia siku ya saba Mungu akamaliza kazi yake ambayo alikuwa ameifanya, naye akaanza kupumzika siku ya saba kutokana na kazi yake yote ambayo alikuwa ameifanya.+
4 Kwa maana katika mahali fulani yeye amesema hivi juu ya siku ya saba: “Na Mungu akapumzika siku ya saba kutokana na kazi zake zote,”+