Waefeso 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pia, enyi mabwana, endeleeni kuwatendea wao mambo hayohayo, na mwache kutisha,+ kwa maana mnajua kwamba Bwana wao na wenu+ pia yuko mbinguni, naye hana ubaguzi+ wowote. Wakolosai 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Enyi mabwana, endeleeni kuwapa watumwa wenu yaliyo ya uadilifu na ya haki,+ mkijua kwamba ninyi pia mna Bwana mbinguni.+
9 Pia, enyi mabwana, endeleeni kuwatendea wao mambo hayohayo, na mwache kutisha,+ kwa maana mnajua kwamba Bwana wao na wenu+ pia yuko mbinguni, naye hana ubaguzi+ wowote.
4 Enyi mabwana, endeleeni kuwapa watumwa wenu yaliyo ya uadilifu na ya haki,+ mkijua kwamba ninyi pia mna Bwana mbinguni.+