Mambo ya Walawi 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 au apate kitu kilichopotea+ naye adanganye kuhusu kitu hicho na kuapa kwa uwongo+ juu ya jambo lolote kati ya mambo yote ambayo huenda mtu huyo akafanya na kutenda dhambi kutokana nayo; Methali 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+
3 au apate kitu kilichopotea+ naye adanganye kuhusu kitu hicho na kuapa kwa uwongo+ juu ya jambo lolote kati ya mambo yote ambayo huenda mtu huyo akafanya na kutenda dhambi kutokana nayo;
9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+