Kutoka 21:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 mwenye shimo hilo anapaswa kulipa.+ Bei hiyo atamlipa mwenye mnyama, naye mnyama aliyekufa atakuwa wake. Kutoka 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Na mtu akiiba ng’ombe-dume au kondoo na kumchinja au kumuuza, atalipa watano kutoka katika mifugo kwa ajili ya ng’ombe-dume huyo na wanne kutoka katika kundi kwa ajili ya kondoo huyo.+
34 mwenye shimo hilo anapaswa kulipa.+ Bei hiyo atamlipa mwenye mnyama, naye mnyama aliyekufa atakuwa wake.
22 “Na mtu akiiba ng’ombe-dume au kondoo na kumchinja au kumuuza, atalipa watano kutoka katika mifugo kwa ajili ya ng’ombe-dume huyo na wanne kutoka katika kundi kwa ajili ya kondoo huyo.+